KWANINI NAHIMIZA MIRADI HIVI karibuni niliandika tofauti kati ya Mradi na Biashara. JAPO biashara huongeza kipato na kukuza uchumi, faida za kufanya mradi ni nyingi. NILIFUNDISHA namna ya kugeuza biashara kuwa mradi, ili uone faida zaidi kiuchumi na kijamii (audio ipo, wasiliana nami) LEO napenda ufahamu kuwa, mradi unao upenda unaweza kuuvunja-vunja, yaani kuuweka katika […]

