SULUHISHO LA AJIRA KWA VIJANA NA FURSA ZILIZOPO Katika utafiti uliofanyika hivi karibuni umegundua changamoto ya ajira kwa vijana imeongezeka kwa kiasi kikubwa, Asilimia 70 ya vijana wenye miaka kati ya 13 na 34 ambao ni wengi zaidi kati ya idadi ya watu Milioni 62 waliopo Tanzania kutokana na sensa iliyofanyika mwaka 2022, Hii inafanya […]

