Katika pitapita zangu, jana niliingia duka moja maeneo ya kariakoo, nikawakuta kina dada watatu ndani. Mmoja akanipokea, wawili walikuwa bize na simu zao. Lengo langu lilikuwa kununua simu. Nikauliza maswali mengi kwani nilihitaji kuelewa uwezo wa simu kabla sijanunua. Bw. Brian Trancy Katika kitabu chake cha MARKETING aliandika, Wanunuzi wengi ni waoga wakununua kwa sababu […]
JINSI YA KUANDIKA MPANGO WA BIASHARA (BUSINESS PLAN)
JINSI YA KUANDIKA MPANGO WA BIASHARA (BUSINESS PLAN) DR. PETER MKUFYA +255 786 202 202 | www.petermkufya.com UTANGULIZI Mpango wa Biashara ni nini hasa? Zipo tafsiri nyingi. Moja ya tafsiri ya kiutendaji, mpango wa biashara ni andiko lenye kuonyesha nadharia ya mikakati na mbinu ya biashara katika taasisi au shirika nk, itakayotumia kuanzia hatua ya […]
KWANINI NAHIMIZA MIRADI
KWANINI NAHIMIZA MIRADI HIVI karibuni niliandika tofauti kati ya Mradi na Biashara. JAPO biashara huongeza kipato na kukuza uchumi, faida za kufanya mradi ni nyingi. NILIFUNDISHA namna ya kugeuza biashara kuwa mradi, ili uone faida zaidi kiuchumi na kijamii (audio ipo, wasiliana nami) LEO napenda ufahamu kuwa, mradi unao upenda unaweza kuuvunja-vunja, yaani kuuweka katika […]
THE POWER OF NEWNESS
I came to learn that everything new that you undertake releases internal energy. It is from the internal energy that your power to perform various tasks surge. Let me nail it down, when you buy a brand new car, build a new house, get a new job, establish a new project, etc, won’t fill the […]
Utambuzi wa maono yako – Moto ndani yako
Maono aliyokupa Mungu yatekeleze haraka. Yeye ndio mtendaji. Wewe ni mfanyakazi katika Shamba lake. Mfanyakazi katika shamba kazi yake kubwa nikutimiza wajibu na maelekezo akiyopewa, nikusimamia ufanisi wa utekelezaji wa kazi za wengine shambani ili malengo yafikiwe. Kuhusu pembejeo na rasilimali nyingine ni kazi ya mwenye shamba. Jambo la msingi nikumpa taarifa. Kwa maana hiyo […]
SULUHISHO LA AJIRA KWA VIJANA NA FURSA ZILIZOPO
SULUHISHO LA AJIRA KWA VIJANA NA FURSA ZILIZOPO Katika utafiti uliofanyika hivi karibuni umegundua changamoto ya ajira kwa vijana imeongezeka kwa kiasi kikubwa, Asilimia 70 ya vijana wenye miaka kati ya 13 na 34 ambao ni wengi zaidi kati ya idadi ya watu Milioni 62 waliopo Tanzania kutokana na sensa iliyofanyika mwaka 2022, Hii inafanya […]
JARIDA LA IDEAS [EXPLORE YOUR POTENTIAL, ACHIEVE YOUR DREAMS]
JARIDA LA IDEAS [EXPLORE YOUR POTENTIAL, ACHIEVE YOUR DREAMS] Jarida Maarufu la IDEAS hatimaye limetoka hapo jana majira ya saa mbili kamili jioni ikiwa ni toleo la Kwanza, Jarida hili kama kichwa kinavyoeleza “IDEAS” Limekusanya mambo mbalimbali kama vile mawazo ya miradi, Njia za mafanikio, Biashara, Mahusiano na mengine mengiii. Katika masaa matatu [3] tu […]
KITABU CHA “ZAWADI KWA WATANZANIA”
UTANGULIZI KUHUSU KITABU HIKI Zawadi kwa Watanzania! Tarehe 9-10-2013 nilipewa wazo la kuandika Kitabu hiki. Kazi ya uandishi wa kitabu hiki haikuwa nyepesi. Ilihitaji muda, akili na fedha. Tarehe 25-09-2016 kuanzia saa tatu na nusu asubuhi hadi saa nane na dakika hamsini na mbili mchana (9:30am – 2:52pm), nilikuwa kwenye utulivu mkubwa, nikapokea Kanuni ya […]
KITABU CHA “TETEMEKO LA UJANA”
KWANINI USOME KITABU HIKI Vijana hupita kwenye matetemeko mbalimbali kipindi cha makuzi yao. Matetemeko hayo unaweza kuyaweka katika makundi ya kiuchumi, kibaolojia, kiimani na kiteknolojia. Matetemeko haya yanaweza kumfanya kijana asifikie malengo yake. Anaweza kujikuta ameharibu maisha yake bila kupenda. Mtunzi ametoa mifano halisi ya changamoto za tetemeko la ujana alizopitia na jinsi alivyozikabili na […]
KITABU CHA “NAANDIKA KITABU CHANGU”
UTAJIFUNZA NINI Utakapomaliza kukisoma kitabu hiki, utapata maarifa ya namna ya kuwa mtunzi wa vitabu kwenye fani yako. Utajua namna ya kutambua mada ndogo ndogo kwa urahisi ili uandike kitabu chako. Utafahamu namna ya kupata muda wa kuandika kitabu na kukadiria masaa na siku unazohitaji kukamilisha kitabu chako, tena ndani ya ratiba yako yenye mambo mengi bila kuathiri kazi zako nyingine. […]